Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Angazo la…
Ijumaa, 13 Rajab 1447 - 02 Januari 2026
Katika mwezi mtukufu wa Rajab wa mwaka huu, 1447 H (2026 M), tunakumbuka kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Dola ya Kiislamu na wasaliti wa Kiarabu na Kituruki, vibaraka wa wakoloni makafiri. Dola hii ilianzishwa na Bwana wa Mitume, Muhammad (saw), na Maswahaba zake Watukufu (ra). Mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) uliondolewa mnamo tarehe 28 Rajab 1342 H, sawia na 3 Machi 1924 M, mikononi mwa mhalifu Mustafa Kemal.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Jordan: Semina ya Kisiasa “Suluhisho…
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Khilafah, Afisi ya Habari ya…
Hizb ut Tahrir / Canada: “Kuchomoza kwa Alfajiri ya Khilafah……
Hizb ut Tahrir / Canada imeandaa kongamano la Khilafah la kila mwaka chini ya kichwa:…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 582
Vichwa Vikuu vya Toleo 582
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Ilifanya Kisimamo na Hotuba…
Mashababu wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan huko Nile Mashariki jijini Khartoum walifanya, mnamo…




