Ijumaa, 14 Rabi' al-awwal 1445 | 2023/09/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Serikali ya Kihalifu jijini Damascus Inaporomoka na Inahitaji Juhudi ya Dhati Kuipindua

Serikali ya Kihalifu jijini Damascus Inaporomoka na Inahitaji Juhudi ya…

Ijumaa, 9 Safar 1445 - 25 Agosti 2023

Haifichiki tena machoni mwa waangalizi kwamba hali katika maeneo yaliyo chini ya usimamizi wa serikali ya kihalifu jijini Damascus imefikia kiwango kisichoweza kuvumilika. Mambo msingi ya maisha yamepotea, na kutoa njia kwa umaskini, njaa, na kutawala kwa wanamgambo wa mauaji, uporaji, na uhalifu, pamoja na vifaa vya ukandamizaji na mauaji.

Habari za Dawah

Hizb ut Tahrir / Bangladesh: Kongamano “Njia ya Kutokea: Kutoka kwa Mshiko wa Hasina na Mkoloni Marekani!”

Hizb ut Tahrir / Bangladesh: Kongamano “Njia ya Kutokea: Kutoka kwa Mshiko wa Hasina na Mkoloni Marekani!”

Jumamosi, 15 Rabi' I 1445 - 30 Septemba 2023

Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh yaandaa kongamano kwa kichwa: “Njia ya Kutokea: Kutoka kwa Mshiko wa Hasina na Mkoloni Marekani!” ...

Chaneli ya Kiislamu ya Oasis: Kwa Nini Ufaransa Inawaogopa Wanawake wa Kiislamu?!

Chaneli ya Kiislamu ya Oasis: Kwa Nini Ufaransa Inawaogopa Wanawake wa Kiislamu?!

Jumatano, 12 Rabi' I 1445 - 27 Septemba 2023

" Kwa Nini Ufaransa Inawaogopa Wanawake wa Kiislamu?!" Chaneli ya Kiislamu ya Oasis yamwalika kwenye mjadalaDkt. Nazreen Nawaz, ...

Nyufa na Mizozo Katika Kuchagua Rais Mpya wa Muungano wa Kutengenezwa wa Upinzani

Nyufa na Mizozo Katika Kuchagua Rais Mpya wa Muungano wa Kutengenezwa wa Upinzani

Jumatano, 28 Safar 1445 - 13 Septemba 2023

Mnamo tarehe 12/9/2023, Baraza Kuu la Muungano unaoitwa Muungano wa Upinzani ulimchagua Hadi Al-Bahra kuwa rais wake mpya. ...

Ushawishi wenye Sumu wa Marekani na Athari Zake Mbaya

Ushawishi wenye Sumu wa Marekani na Athari Zake Mbaya

Jumapili, 25 Safar 1445 - 10 Septemba 2023

Mnamo Agosti 27, 2023, uongozi wa yale yanayojulikana kama SDF (Majeshi ya Kidemokrasia ya Syria), pia yanayojulikana kama QSD, yalimkamata kiongozi wa baraza la jeshi la Deir Ez-Zor baada ya kumvutia...

Alwaqiyah TV

Habari

Uhakiki wa Habari 27/09/2023

Uhakiki wa Habari 27/09/2023

Jumatano, 12 Rabi' I 1445 - 27 Septemba 2023

Marekani imewaahidi wanachama wa Jukwaa la Visiwa vya Pasifiki (PIF) maendeleo makubwa na vifurushi vya misaada ya miundombinu vyenye thamani ya dolari milioni 200 katika mkutano wao wa pili wa kila m...

Dhalimu wa Uzbekistan Ajaribu Kukandamiza Madhihirisho ya Uislamu katika Jamii

Dhalimu wa Uzbekistan Ajaribu Kukandamiza Madhihirisho ya Uislamu katika Jamii

Jumapili, 9 Rabi' I 1445 - 24 Septemba 2023

Mnamo tarehe 16 Septemba Radio Liberty iliripoti: "Kampeni dhidi ya ufugaji ndevu na uvaaji hijab kwa mara nyingine tena imepamba moto nchini Uzbekistan. Picha za video zilizotumwa kwa Ozodlik mnamo t...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu