Hakuna Tofauti Kati ya Uhalifu wa huko New Orleans na…
Jumatano, 1 Rajab 1446 - 01 Januari 2025
FBI imefichua utambulisho wa mhusika wa shambulizi la kugonga na gari huko New Orleans, Marekani, ambalo lilisababisha vifo na majeruhi ya makumi ya watu wakati wa sherehe za mwaka mpya. Mshambuliaji huyo alitambuliwa kama askari wa zamani wa Wanamaji. Mamlaka mjini New Orleans ziliripoti vifo vya watu 10 na wengine 30 kujeruhiwa baada ya lori kuingia kwenye umati wa watu. Vyombo vya habari vya Marekani viliripoti kwamba watu kadhaa walipoteza maisha baada ya gari hilo kugonga mkusanyiko wa watu kwenye Barabara ya Bourbon katika Mtaa wa Wafaransa wa New Orleans mnamo siku ya Jumatano. Wakati huo huo, Wizara ya Mambo...
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Kalima kuhusu “Kubadilisha Sarafu…
Kalima kuhusu “Kubadilisha Sarafu ya Karatasi nchini Sudan!”
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (460-461)
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (460-461)
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Hizb ut Tahrir…
Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kisiasa wa nchi za Waislamu!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Hizb ut Tahrir…
Hizb ut Tahrir inapinga Ukoloni wa Kijeshi wa nchi za Waislamu!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Kama vile Yalivyo anza…
Kama vile Yalivyo anza na “Ni ya Mwenyezi Mungu,” lazima Yamalizike na “Ni ya Mwenyezi…