Kuibuka kwa Miungano Miwili Mipya ya Kijeshi katika Mashariki ya…
Jumatano, 29 Dhu al-Hijjah 1446 - 25 Juni 2025
Muungano kati ya Pakistan, Uturuki na Azerbaijan umekuwa ukichukua umbo kwa utaratibu uliopangwa, tangu viongozi wa nchi hizo tatu walipokutana kwenye mkutano wa kilele katika msimu wa kiangazi wa 2024. Mkutano huo uliwaleta pamoja Rais wa Uturuki Erdogan, Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, na Rais wa Azerbaijan, Ilham Aliyev. Uliangazia mahusiano ya kisiasa kati ya dola hizo tatu, na kushughulikia masuala ya kikanda na kimataifa kama vile Gaza, Cyprus, Kashmir, na suala la chuki dhidi ya Uislamu.
Bajeti Mpya ya Misri ni Kati ya Tarakimu Zinazopotosha na…
Mnamo tarehe 16 Juni 2025, Mbunge wa Misri Diaa El-Din Dawood alipinga rasimu ya bajeti…
Kuna Tofauti Kubwa kati ya Utu chini ya Uislamu na…
Kamati ya Kuu ya Mitihani ya Cheti cha Sudan ilitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi: “Msafara…
Matembezi yaliyohudhuriwa na umati mkubwa wa watu yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya…
Hizb ut Tahrir Tanzania Yazindua Kampeni Maalum ya Kulinda na…
Mnamo tarehe 2 Muharram 1447 H / 27 Juni 2025 M, Hizb ut Tahrir Tanzania…