Hizb ut Tahrir Tanzania Inatoa Mwito Kuachiwa Huru Mahabusu wote 12 Waliokamatwa Kwa Mara ya Pili
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Tanzania inalaani kwa nguvu zote kitendo cha kukamatwa tena mara ya pili kwa wanaodaiwa kuwa watuhumiwa wa ugaidi ambao waliachiwa huru mnamo tarehe 4 Machi 2025 baada ya kushikiliwa kwa miaka kumi.