Kupiga Kura Ndani ya Mfumo wa Kisekula Kunapelekea Kuoanishwa
- Imepeperushwa katika Uholanzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mara nyingi zaidi, maimamu, mabaraza, na viongozi wa kidini huwataka Waislamu nchini Uholanzi kupiga kura kwa wingi na kushiriki katika mchezo wa kisiasa wa mfumo wa kisekula. Mfumo ambao, kutoka asili na kiini chake, unapinga Uislamu, unautenga, na kujaribu kuudogosha hadi kitu kilichofungwa kwenye msikiti au sebule.



