Jumapili, 16 Dhu al-Qi'dah 1444 | 2023/06/04
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mtoto asiye na Mfumo wa Kifamilia yuko Hatarini kama ulivyo Hatarini Ummah usio na Mfumo wake wa Kutawala

Hakika dunia iko katika machafuko na machafuko haya yanajitokeza katika kila ngazi ya jamii, mojawapo ni maisha ya familia na kuvunjika kwake. Kama mtaalamu anayefanya kazi na vijana katika nchi za Magharibi, kufeli kwa jamii kwa jumla kunadhihirika zaidi katika faragha ya chumba changu cha utoaji ushauri.

Soma zaidi...

Mabadiliko Yanawajibisha Utiifu kwa Mwenyezi Mungu (swt), Kuhukumu kwa Yale Yote Aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu (swt) kupitia Khilafah

Quran tukufu inaelezea habari za mataifa tafauti na sababu za kushindwa kwao. Kuna sababu moja tu, nayo ni kuwa, hawakumtii Mwenyezi Mungu (swt). Ima wawe ni watu wa Nuh (as), watu wa Lut (as), Aad au Thamud, ambapo suala la kutomtii Mwenyezi Mungu (swt) kwao lilitafautiana.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu