Kufeli kwa Kila Mwaka kwa Mkutano wa ASEAN kwa Waislamu Kusini Mashariki mwa Asia
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Rais wa Indonesia Joko Widodo amethibitisha kwamba kuwalinda wafanyikazi wahamiaji na wahanga wa ulanguzi wa binadamu ni mojawapo ya makubaliano msingi yaliyotokana na Mkutano wa 42 wa Wakuu wa ASEAN uliomalizika hivi karibuni huko Labuan Bajo, Indonesia, Mei 2023.