Uchomaji Quran na Miitiko ya Kisiasa ya Kinafiki
- Imepeperushwa katika Denmark
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Uchomaji moto wa hivi karibuni wa Quran nchini Denmark na Sweden, na miitiko iliyofuata nyumbani na nje ya nchi, inatoa wito wa utambuzi muhimu :Uhuru wa kusema ni chombo cha nguvu ya kisiasa na kifuniko duni cha ukosefu wa maadili ya kweli.