Hizb ut Tahrir / Wilaya Iraq: Khilafah ni Izza na Njia ya Wokovu kwa Wanadamu!
- Imepeperushwa katika Iraq
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Khilafah ni Izza na Njia ya Wokovu kwa Wanadamu! Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa 104 H wa kuvunjwa dola ya Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab al-Muharram 1342 H sawia na 03/03/1924 M mikononi mwa wahalifu wa Kiarabu na Kituruki.