Jumatatu, 28 Jumada al-awwal 1445 | 2023/12/11
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Bandari Mpya ya Miungano "Uadui kwa Wakimbizi"

Kwa kuwa hapakuwa na mgombea ambaye asilimia ya kura zake zilizidi 50 + 1 katika uchaguzi uliofanyika Jumapili, Mei 14, raundi ya pili ya uchaguzi itafanyika mnamo Jumapili, Mei 28. Kwa sababu ya kauli zilizorushianwa kati ya miungano, vyama na viongozi wakati wa mchakato wa uchaguzi, jamii iligawanywa katika sehemu mbili, na watu wakawa maadui wa kila mmoja.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki Yawaomboleza Mashababu wake Wawili Waaminifu Hanafi Salman na Bahauddin Anghai Na Mmoja wa Dada zake wenye Ikhlasi Maqbula Yakar Angay

Katika tetemeko la ardhi tulilolishuhudiwa mnamo Jumatatu, Februari 6, 2023, wawili wa Mashababu wetu waaminifu na mmoja wa dada zetu wema walibaki chini ya kifusi hadi waliposalimisha roho zao kwa Mwingi wa Rehema

Soma zaidi...

Je, sio Wakati sasa wa Kuiwajibisha Marekani na Nchi za Kimagharibi, Wachochezi wa Ugaidi?!

Mnamo Jumapili, Novemba 13, 2022, shambulizi baya la kigaidi lilifanyika Taksim, Istanbul, ambapo mlipuko uliua watu 6, wakiwemo watoto 2, na kujeruhi watu 81. Mamlaka zilitangaza kwamba shambulizi hilo la kigaidi lilitekelezwa kwa maagizo ya Chama cha Wafanyikazi wa Kurdistan/Chama cha Umoja wa Kidemokrasia/Vitengo vya Ulinzi wa Watu.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu