Usiuze Usichokuwa Nacho!
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Natarajia kuwekewa wazi maudhui ya “usiuze usichokuwa nacho”. Je, inahusu kila bidhaa inayouzwa? Ama ni makhsusi tu vyakula?
Natarajia kuwekewa wazi maudhui ya “usiuze usichokuwa nacho”. Je, inahusu kila bidhaa inayouzwa? Ama ni makhsusi tu vyakula?
Imetajwa katika kitabu cha “Shakhsiya ya Kiislamu” Juzuu ya Kwanza, katika mlango: “Haja ya Umma leo kwa wafasiri” tulipozungumzia kuhusu Waarabu kuacha kutumia baadhi ya matamshi kwa kutosheka na visawe ama matamshi yanayokaribiana nayo, maadamu maana yaliyokusudiwa yamenyooka.
Ni upi usahihi wa huu msingi wa kisheria? Na je yafaa kuutumia kama dalili ya kutekeleza hukmu za kisheria polepole? [msingi wenyewe ni:
Kwanza, naomba radhi kwa maswali mengi ambayo yawafikia kutoka kwangu. Lakini tumejifunza kwenye hizb kuwa tupekue na tutafiti, ili fikra yetu ibakie kuwa yenye nguvu na safi kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu mtukufu.
Mwenyezi Mungu akufungulie sheikh wetu Ata Bin Khalil Abu Rashtah na twambuomba Mwenyezi Mungu Azza wa Jallah awarahisishie kwenu wenye nguvu na ulinzi wamchao Mwenyezi Mungu, na wasafi. Swali langu sheikh wangu mheshimiwa ni:
Assalamu Alaikum wa Rahamtullahi wa Barakaatuh.
Je, benki za Kiislamu hufanya kazi kulingana na sheria za Kiislamu mjini Tulkarm, na mikoa ya Ukingoni wa Magharibi?
Assalamu alaikum wa rahmatullahi wa barakatuhu, sheikh wetu. Namuomba Mwenyezi Mungu Akuhifadhi na Akupe afya njema kwa ajili ya hii daawa na dini na Akupe maisha marefu katika ibadah Yake na Akujaalie uishuhudie Khilafah ya pili iliyoongoka.
Sheikh wetu mkubwa, nina swali juu ya rai za kifiqhi za maimamu wanne na mujtahidi wengine ambao wanatofautiana na sisi kuhusu rai za kifiqhi zilizo tabanniwa katika Hizb, na ambazo zinaingia katika ile inayoitwa fiqhi ya ikhtilaf
Mwenyezi Mungu akubariki ewe Amiri wetu, na awape ushindi, na awatilie nguvu kwa ufunguzi wa wazi na Khilafah kwa njia ya Utume nyoyo za waumini ziweze kupoa.
Baadhi ya Mashababu na watu nchini Tunisia waliswali swala ya Ijumaa mbele ya misikiti baada ya kufungwa na mamlaka. Baadhi ya maimamu waliwakana na wakazichukulia swala zao kuwa batili, ikizingatiwa kuwa swala za Ijumaa huswaliwa ndani ya msikiti pekee.