Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Umma
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sisi katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan tunafuraha kuwaalika ndugu wanahabari, wanasiasa, na wale walio na hamu na mambo ya Umma, kuhudhuria na kushiriki katika Kikao cha kila mwezi cha Masuala ya Umma, ambacho mwezi huu kitakuwa na kichwa: Ni Nani Anayemiliki Uamuzi wa Kukomesha nchini Sudan