Khilafah: Mradi wa Mabadiliko wa Ummah na Taji la Faradhi zote
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Chini ya mada hii, Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan ilifanya kikao chake cha kawaida, Kikao cha Masuala ya Umma, ambacho mwezi huu, mwezi wa Rajab, kilifanyika kukumbuka kumbukumbu ya kuvunjwa kwa Khilafah, inayofikisha miaka 104 tangu kuanguka kwake katika mwezi wa Rajab 1342 H.