Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Kadhia za Umma
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sisi katika Hizb ut Tahrir/ Wilayah Sudan, tunafuraha kuwaalika ndugu zetu wanahabari, wanasiasa, na wale wenye hamu na mambo ya umma kuhudhuria na kushiriki katika kikao cha kila mwezi cha kadhia za Umma, ambapo mwezi huu kichwa chake ni: Mpango wa Amerika wa Kuitenganisha Darfur... Na Jinsi ya Kuutibua.