Enyi Waislamu! Msidharau Matendo Yenu Wenyewe kwa Kuangalia Matendo ya Watu! Kwa sababu Nyinyi Ni “Mashahidi” Juu ya Wanadamu!
- Imepeperushwa katika Kitengo cha Wanawake Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Meli ya misaada ya "kwenda Gaza" ya Madleen na matendo ya wanaharakati wake maarufu wasio Waislamu yamekuwa na athari kubwa kwenye vyombo vya habari vya kawaida na mitandao ya kijamii. Nchi nyingi, ikiwemo Uturuki, zilitoa "msaada wa ushauri" kwa raia wao wenyewe kwenye meli hiyo, ambayo ilikamatwa na umbile vamizi la kigaidi la kizayuni.