Hizb ut Tahrir / Uholanzi: Semina kwa Anwani “Vipaumbele vya Umma”
- Imepeperushwa katika Uholanzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Uholanzi ilifanya semina katika mji wa Utrecht wa Uholanzi kwa anwani "Vipaumbele vya Umma"
Hizb ut Tahrir / Uholanzi ilifanya semina katika mji wa Utrecht wa Uholanzi kwa anwani "Vipaumbele vya Umma"
Maoni ya Habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Kwa Mabadiliko ya Kweli... Kataeni demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Hizb ut Tahrir/Amerika itaandaa Kongamano la kila mwaka la Khilafah kwa mwaka huu wa 2023 chini ya kichwa:
"Migogoro na Njia panda... Udharura wa Uislamu Kuuokoa Ulimwengu"
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan ilizindua kampeni kwenye mitandao ya kijamii kwa kichwa "Katika kumbukumbu ya miaka 11 ya kutekwa nyara kwake.. Mwacheni Huru Naveed Butt!"
Maoni ya Habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Kwa Mabadiliko ya Kweli... Kataeni Demokrasia... Simamisheni Khilafah.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa kisimamo katika mji wa Tripoli, Ash-Sham, mbele ya Al-Saray, chenye kichwa:
“Sote tuko dhidi ya Kampeni ya Kibaguzi na ya Kidhulma dhidi ya Ndugu zetu Watu wa Ash-Sham!"
Pindi Waislamu wanapodai kuhamasika kwa vikosi vyao vya kijeshi ili kuzikomboa Ardhi za Waislamu zinazokaliwa kwa mabavu, watawala husisitiza kuheshimiwa kwa mipaka ya kitaifa. Baada ya kuivunja Khilafah, wakoloni waliweka mipaka ya kitaifa baina ya Waislamu. Waliwagawanya na kuwadhoofisha Waislamu, ili kuhakikisha ukaliaji kimabavu wa ardhi zao.
Je, sio wakati wa Takbira za Al-Masjid Al-Aqsa, kuzigonga nyoyo za majeshi ya Kiislamu?!
Je, sio wakati wa vilio vya wanawake watukufu wa Ardhi Tukufu, kutikisa nguzo za wakuu wa majeshi katika majeshi ya Kiislamu?
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan inaandaa kampeni kubwa kwenye mitandao ya kijamii yenye kichwa "Msikiti wa Al-Aqsa unayaita Manajeshi ya Pakistan!" ili kusisitiza ukweli wa kisheria kuhusiana na kadhia ya Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kwamba ni ardhi ya Kiislamu inayokaliwa kwa mabavu na Mayahudi makafiri
Katika muendelezo wa amali za hadhara zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan, kuhamasisha Umma wa Kiislamu na kunoa azma yake ya kusimamisha tena Dola ya Khilafah Rashida, kwa kuunda rai jumla yenye kufahamu hukmu za Uislamu na masuluhisho yake.