Jibu la Swali: Bin Salman na Uhalalishaji Mahusiano na Mayahudi
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kisiasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Je! Saudi Arabia inakaribia kufuata makubaliano ya uhaini wa Kiarabu na kujenga mahusiano na umbile la Kiyahudi?
Je! Saudi Arabia inakaribia kufuata makubaliano ya uhaini wa Kiarabu na kujenga mahusiano na umbile la Kiyahudi?
CGTN (Chinese Global Television Network) ilichapishwa tarehe 30/6/2023: (Wizara ya Mambo ya Nje ya China iliikosoa Marekani kwa kutoa matamshi ya kutowajibika kuhusu uhusiano wa nchi hizo mbili. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Anthony Blinken alisema katika mahojiano mapema kwamba Washington itaendelea kutetea maslahi yake binafsi
Mnamo tarehe 14/6/2023, kwa mara ya kwanza tangu kumalizika kwa Vita vya Pili vya Dunia, serikali ya Ujerumani iliidhinisha mkakati wa kitaifa wa usalama wa taifa,
Chama cha Republican kilipata udhibiti, kwa wingi mdogo, juu ya Baraza la Wawakilishi la Marekani ambalo lina viti 435. [“Kilishinda angalau viti 218, kulingana na makadirio ya CBS News, mshirika wa BBC nchini Marekani.” (BBC, Novemba 17, 2022)]. Kuhusu Wanademokrasia, walisherehekea [“Jumapili kwamba chama kilibakisha wingi wa watu wengi katika Seneti ya Marekani,”
Je, inawezekana kuhitimisha makubaliano kama makubaliano ya Kennedy na Khrushchev mnamo 1961, ambayo Amerika inahitimisha moja na China? Je, tunaweza kusema hivi? Hasa kwa vile China kama nchi yenye nguvu ya kiuchumi duniani imekuwa tishio namba moja kwa nguvu za Marekani?
Kwa nini Saudi Arabia, ambayo ni kibaraka wa Amerika, ilishirikiana na Urusi katika shirika la OPEC Plus kupunguza uzalishaji wa mafuta kwa kiasi kikubwa, ambayo itasababisha kupanda kwa bei yake, na hii ni kinyume na matamanio ya Amerika? Amerika ilikasirishwa kutokana na uamuzi huu na kutangaza kutathmini upya mahusiano yake na Saudi Arabia:
France 24 iliripoti mnamo Oktoba mosi 2022 kwamba: (Msemaji wa jeshi la Ukraine alitangaza kuingia kwa majeshi yake katika mji wa Lyman mashariki mwa nchi hiyo. (eneo la Donetsk) baada ya kuhusuru vikosi vya Urusi...).
Mnamo Agosti 15, 2022, alitangazwa kwamba William Ruto alimshinda mpinzani wake Odinga kwa tofauti ndogo katika uchaguzi wa urais uliofanyika nchini Kenya mnamo Agosti 9, 2022...
Ni nini kinachosababisha mvutano kati ya Marekani na China kuhusu Taiwan? Je, nia gani zinazosababisha mvutano huu? Kwa nini Marekani iliichokoza China kwa ziara ya Spika wa Baraza la Wawakilishi na wajumbe wengine wa Congress nchini Taiwan? Ni nini umuhimu wa kisiwa hicho kwa China na Amerika? Je, mambo yanaelekea kwenye vita au kwa utulivu?
Katika taarifa ya mwisho iliyotolewa na Umoja wa Ulaya katika mkutano wake wa kilele jijini Brussels tarehe 23-24/6/2022,