Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Lebanon Wamemtembelea Mheshimiwa Mbunge Dkt Osama Saad
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa kuzingatia shambulizi la Marekani dhidi ya Lebanon na kanda hii kupitia uhalalishaji mahusiano na kujisalimisha, na juhudi za Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon kuzuia shambulizi hili, ujumbe kutoka hizb, ukiwakilishwa na wanachama wa Kamati Kuu ya Mawasiliano na Kamati ya Amali katika Eneo la Kusini, ulimtembelea Mheshimiwa Mbunge Dkt. Osama Saad afisini kwake Sidon mnamo Jumatatu, 27/10/2025.



