Jibu la Swali: Habari za Zama za Mwisho na Kushuka kwa Masihi (AS)
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ni lazima ieleweke kwamba taarifa zilizomo katika maandiko ya Kiislamu, iwe kuhusu matukio ya zamani au yajayo, lazima zithibitishwe ili zikubaliwe; yaani, hazipaswi kuwa dhaifu au za kubuniwa. Nitataja baadhi ya dalili sahihi zinazohusiana na swali lako, lakini sitataja zote; Unaweza kupata zaidi katika vitabu vinavyohusika vya fiqh ya Kiislamu.



