Gaza iko Ukingoni mwa Kuzidishwa Mauaji na Ukandamizaji Mkali ikiwa Umma wa Kiislamu hautasonga mbele Kuinusuru
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Gaza Hashim inaingia katika hatua mpya ya mauaji na uharibifu baada ya wizara ya usalama ya umbile halifu kuamua asubuhi ya Ijumaa hii, 08/08/2025, kupanua operesheni zake ili kuweka udhibiti wake juu ya Mji wa Gaza kikamilifu, na uamuzi huu ulikuja kwa siri kutoka kwa Amerika kwa ulimi wa Trump, Rubio, na wengine kutoka kwa wakaazi wa (ikulu ya) Jumba Jeusi.