Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mamlaka ya Palestina Yadhihirisha Ukweli wa Msimamo Wake Kupitia Kukishambulia Kisimamo Kinacho Kataa Mkataba wa Trump

Mnamo Jumamosi asubuhi, 15 Februari 2020, Mamlaka ya Palestina (PA) na vyombo vyake vya usalama iliweka vizuizi katika lango la kuingilia mji wa Jenin, na kuchukua hatua kadhaa ili kuzuia kisimamo kilichoitishwa na Hizb ut Tahrir ili kupinga mkataba wa kikoloni wa Trump, …

Soma zaidi...

Ardhi ya Baraka ya Palestina Itakombolewa na Majeshi ya Mujahidina katika Njia ya Mwenyezi Mungu Sio kwa Baraza la Usalama na Kufedheheshwa na Wakoloni

Tumekusanyika leo kutamka kwa sauti kubwa na kwa uwazi mbele ya nyuso za wakandamizaji, madikteta na wakoloni, kwamba Palestina ni ardhi halisi ya Kiislamu, ni yetu na wala si ya yeyote mwingine, na kwamba Mpango wa Trump na mikakati yote ya usaliti na kujisalimisha na makubaliano ya kiudhalilishaji na ya aibu yapo chini ya miguu ya Waumini na Mujahidina kwa kutaka Radhi za Mwenyezi Mungu (swt).

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu