Jumatano, 07 Ramadan 1444 | 2023/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tangazo la Matokeo ya Uchunguzi wa Mwezi Mwandamo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa mwaka 1444 Hijria

Bismillah Ar-Rahman Ar-Raheem na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote, Aliyetufaradhishia kufunga mwezi wa Ramadhan na kuifanya kuwa ni miongoni mwa nguzo za Uislamu, na rehma na amani zimshukie yule aliye teremshiwa Qur’an Tukufu katika mwezi mtukufu, kama uongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uongofu na upambanuzi, bwana wetu Muhammad na jamaa zake na maswahaba wake wote.

Soma zaidi...

Mfumo wa Kidemokrasia wa Serikali Haujaipatia Pakistan Chochote ila Machafuko na Ukosefu wa Utulivu. Hakikisheni Dola Imara na Thabiti nchini Pakistan kupitia Kusimamisha Khilafah!

Machafuko na ghasia za kisiasa juu ya kufanya uchaguzi mapema au kuchelewa, ni aina ya hivi karibuni ya ukosefu wa utulivu wa Pakistan. Tatizo hili limekuwa likiendelea kwa miongo kadhaa iliyopita.

Soma zaidi...

Uzinduzi wa Tovuti ya Kifaransa ya Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kutangaza kuzinduliwa kwa tovuti yake kwa lugha ya Kifaransa, ambayo itatumika kama tovuti ya watu wanaozungumza Kifaransa kutazama maudhui ya habari yanayoangazia juhudi zilizofanywa katika mradi wa kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.

Soma zaidi...

Tamko la Mwisho la Kongamano la Kila Mwaka la Khilafah 2023 "Kuporomoka kwa Dola ya Usasa na Hakuna Wokovu Isipokuwa katika Dola ya Khilafah"

Mkutano wa kila mwaka wa Khilafah 2023 ulijadili suala la kwanza nyeti na kuu; Uislamu na Khilafah zilikuwa ndio kitovu ambacho hotuba za wazungumzaji zilizunguka juu yake, kwani ni wajibu ambao Mwenyezi Mungu Amewaamrisha Waislamu wote, na kama hadhara badali pekee yenye uwezo wa kuutoa Ummah, na kwa hakika wanadamu wote, kutoka katika matatizo yao.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu