Shirika la Ushirikiano wa Kiislamu; Shirika lisilo na Ushirikiano Wala Uislamu!
- Imepeperushwa katika Afghanistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mkutano wa 48 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Shirika la Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ulifanyika jijini Islamabad Machi 23, 2022 ambapo mawaziri 46 wa mambo ya nje walikuwa wamehudhuria - mkutano huo ulidumu kwa siku 2.