Vita vya Uharibifu na Amani ya Fazaiko Ndio Urithi Mkuu wa Amerika nchini Afghanistan!
- Imepeperushwa katika Afghanistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika miezi ya hivi karibuni, idadi ya mauaji, mabomu, milipuko, mashambulizi ya makombora na mashambulizi ya ovyo ovyo katika miji na vijiji vya Afghanistan yameongezeka sana, ambayo yalisababisha kuuawa kwa maimamu wa misikiti, viongozi wenye ushawishi,
Serikali ya Afghanistan imewaelekeza maafisa kadhaa wa serikali, wakiwemo mawaziri, manaibu, magavana na washauri, kwa afisi ya Mkuu wa Sheria kwa tuhuma za ufisadi.
Kwa muda mrefu, Amerika imepuuza kutambua kujitolea na matendo ya kusifika ya Mujahideen wa zamani na kuyakanyaga. Badala yake daima humuweka mtu aliyejitolea zaidi, kidemokrasi na kisekula katika madaraka ambaye kihisia na kiakili hausiani na watu wa Afghanistan kamwe.
Baada ya miezi sita ya machafuko ya uchaguzi juu ya matokeo yake, wagombea wawili wa mbele waliapishwa kama maraisi wa Afghanistan katika sherehe tofauti za kiapo. Wote wameuita ushindi wao kama "ushindi wa Jam huri na Demokrasia".