Ijumaa, 11 Dhu al-Qi'dah 1446 | 2025/05/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Jibu la Swali: Uturuki, Umbile la Kiyahudi, na Kambi nchini Syria

Mnamo tarehe 14/4/2025, Shirika la habari la ‘Turk Press’ lilichapisha kwenye tovuti yake sababu za pingamizi ya umbile la Kiyahudi ya kuanzishwa kwa kambi ya anga ya Uturuki katika Uwanja wa Ndege wa T4 ndani ya ardhi ya Syria. Jarida la ‘Wall Street Journal’ lilichapisha kwenye tovuti yake tarehe 12/4/2025, kwamba Trump alionyesha nia yake ya kupatanisha wakati wa mkutano wake na Netanyahu wiki iliyopita. Je, hii ina maana kwamba umbile la Kiyahudi linaweza kuizuia Uturuki kuwa na uwepo wa kijeshi nchini Syria, licha ya makubaliano ya Uturuki na Syria? Je, Marekani ina dori katika suala hili ambayo inaweza kufafanua nia ya Trump kufanya upatanishi?

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Kongamano la kila Mwaka la Khilafah: “Kufeli kwa Serikali ya Kisasa na Kutoepukika kwa Dola ya Khilafah”

Hizb ut Tahrir/Wilayat Tunisia ilifanya kongamano lake la kila mwaka la Khilafah mnamo siku ya Jumamosi, 26 Aprili 2025, katika ukumbi wa mikutano kwenye makao makuu ya Hizb katika makutano ya barabara ya Sakra katika mji mkuu, Tunis, chini ya kichwa: “Kufeli kwa Serikali ya Kisasa na Kutoepukika kwa Dola ya Khilafah” Kumbi mbili zilizotengwa kwa ajili ya wageni zilijaa idadi kubwa ya wanaume na wanawake waliofika kwenye kongamano hilo kutoka pande zote za ardhi ya kijani ya Tunisia.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Baada ya Mbabe wa Kiyahudi wa Trump wa Magharibi, Mbabe wa Kibaniani wa Trump wa Mashariki atangaza Vita dhidi ya Umma wa Kiislamu!

Baada ya kukutana na Makamu wa Rais wa Trump, J.D. Vance, Modi alisitisha Mkataba wa Maji wa Indus mnamo 23 Aprili 2025, akitishia usambazaji wa maji kwa Pakistan. Enyi, simba wa jeshi la Pakistan! Hakuna njia ila kukabiliana na mashambulizi ya pande mbili za Trump dhidi ya Umma. Nayo ni kwa kupitia muungano wa Umma wa Kiislamu chini ya Khilafah Rashida ya pili. Je, jeshi kubwa zaidi la Kiislamu lingewezaje kuacha heshima hii kwa jeshi jengine lolote?!

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Tunahitaji Jeshi la Waislamu Kuinusuru Gaza, sio “Mbwa Mwitu walio Pweke”!

Video ya afisa mmoja kijana wa jeshi wa Pakistan akitaka kwenda Gaza imesambaa, na wakati huo huo, video nyingine ya afisa sawia wa Misri imesambaa. Enyi maafisa wa majeshi ya Waislamu! Ikiwa hamuwezi kuleta tama la maji au tembe ya tende mjini Gaza, mutawezaje kumleta afisa aliyebeba bunduki?!

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Enyi Wanazuoni wa Kiislamu! Wachocheeni Maafisa wa Jeshi Kupindua Uongozi wa Kijeshi, Vibaraka wa ukoloni!

Mnamo tarehe 11 Aprili 2025, Mufti Muhammad Taqi Usmani, jaji wa zamani wa Mahakama ya Shirikisho la Sharia, alisema kwamba jihad dhidi ya “Israel” ni faradhi kwa serikali zote za Waislamu. Hata hivyo, licha ya kutangaza kuwa ni wajibu, uongozi wa kijeshi haukukusanya vikosi vya kijeshi kuinusuru Gaza.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu