Tanzia na Rambirambi za Amiri wa Hizb ut Tahrir kwa Kifo cha Mhandisi Ismail Al-Wahwah (Abu Anas)
- Imepeperushwa katika Hotuba
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Amiri wa Hizb ut Tahrir anatoa salamu za rambirambi kwa Waislamu kwa jumla, na kwa Mashababu wa Hizb ut Tahrir haswa, juu ya ndugu mtukufu, ambaye tulimpoteza katika Alfajiri ya Alhamisi, Mei 18, 2023, nchini Australia.