Jumamosi, 23 Sha'aban 1446 | 2025/02/22
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Indonesia: Katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa kwa Khilafah “Palestina itakombolewa kupitia Khilafah na Jihad”

Kwa mnasaba wa kumbukumbu (miaka 104 H) ya kuvunjwa Khilafah mnamo tarehe 28 Rajab Tukufu 1342 H sawia na 03/03/1924 M mikononi mwa wahalifu wa Kiarabu na Kituruki, na kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) yaliyofanywa na umbile nyakuzi la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina), Hizb ut Tahrir / Indonesia iliandaa matembezi makubwa katika mji mkuu wa Jakarta yenye kichwa “Palestina itakombolewa kupitia Khilafah na Jihad”.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Indonesia: Amali kubwa ya Khilafah na Jihad Kuikomboa Palestina na Gaza!

Kwa mnasaba wa kupita mwaka mmoja wa mauaji ya kikatili yanayoendelea (mauaji ya halaiki) yanayofanywa na umbile nyakuzi la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamepelekea kuuawa shahidi na kujeruhiwa Waislamu zaidi ya 160,000 wanaume na wanawake hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Indonesia iliandaa amali kubwa kwa anwani “Kukomesha mauaji ya halaiki nchini Palestina kunaweza tu kutekelezwa kwa kusimamisha Khilafah na kuhamasisha majeshi ya Kiislamu.”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Indonesia: Amali kubwa kwa Mnasaba wa Kupita Mwaka Mmoja wa Mauaji ya Halaiki mjini Gaza!

Hizb ut Tahrir / Indonesia iliandaa amali kubwa katika mji mkuu wa Indonesia, Jakarta, na katika mji mkubwa wa pili nchini Indonesia wa Surabaya, ambapo maelfu ya Waislamu walikusanyika na kutaka kuhamasishwa kwa majeshi ya Waislamu ili kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahir / Indonesia: Amali Pana za Kuyataka Majeshi ya Waislamu Kuiokomboa Al-Aqsa!

Hizb ut Tahrir / Indonesia iliandaa amali mbele ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa Indonesia Takarta iliyobeba kauli mbiu “Palestina Inakombolewa kwa Jihad na Khilafah” ambayo walishiriki ndani yake zaidi ya Waislamu elfu 13 wanaume na wanawake iliyotaka kuhamasishwa majeshi ya Waislamu kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)

Soma zaidi...

Hizb ut Tahir / Indonesia: Amali Pana za Kuyataka Majeshi ya Waislamu Kuiokomboa Al-Aqsa!

izb ut Tahrir / Indonesia iliandaa amali pana katika miji mikuu 37 nchini ambapo maelfu ya watetezi na wafuasi walishiriki wakitaka majeshi ya Waislamu kutaharaki ili kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia Mto wake hadi Bahari yake kutokana na najisi ya Mayahudi wauwaji wahalifu.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu