Ijumaa, 11 Dhu al-Qi'dah 1446 | 2025/05/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kisimamo cha Kulaani cha Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Lebanon jijini Beirut “Kutoka Beirut hadi Gaza, Kuweni Answari wa Mwenyezi Mungu, Enyi Majeshi ya Ummah”

Mamia ya Mashababu (wanachama) na wafuasi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon walishiriki katika kisimamo cha kulaani kilichoitishwa na Hizb, baada ya swala ya Ijumaa mnamo tarehe 25/4/2025, jijini Beirut, mbele ya Msikiti wa Mohammad Al-Amin. Kisimamo hicho kilikuwa na kichwa “Kutoka Beirut hadi Gaza, Kuweni Answari wa Mwenyezi Mungu, Enyi Majeshi ya Umma,” ambapo mabango yalinyanyuliwa yakitaka kuhamasishwa kwa majeshi, kupinduliwa kwa viti vya utawala vya madhalimu, na kunusuriwa kwa Gaza kupitia jihad na silaha.

Soma zaidi...

Ujumbe kutoka Hizb ut Taharir / Wilayah Lebanon Wamzuru Mbunge Osama Saad

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon katika mji wa Sidon, ukiwakilishwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Mawasiliano, Mhandisi Bilal Zaidan na Mjumbe wa Kamati ya Amali katika mji wa Sidon, Hajj Hassan Nahhas, walimtembelea Mwakilishi Osama Saad leo, Jumatano, Disemba 11, 2024. Ujumbe huo uliwasilisha msimamo wa Hizb kuhusu matukio mbalimbali hasa yanayojiri katika eneo hali ya Syria, Lebanon na kanda kwa jumla.

Soma zaidi...

Kutenganisha Lebanon na Gaza ni Hatua ya Kuelekea kuweka Amani na Adui Mvamizi na Uhalalishaji Mahusiano!

Hebu hata mmoja wetu asisahau kwamba umbile la Kiyahudi ni adui mwenye chuki, anayekalia kwa mabavu, na mwenye kinyongo, anayetamani ardhi na rasilimali zetu. Tangu kuanzishwa kwake, limeendelea kushambulia ardhi zetu kwa usaidizi wa Magharibi, silaha, na ulinzi wa kimataifa kupitia maazimio. Hivi leo, chini ya mamlaka ya serikali ya mrengo mkali wa kulia inayoongozwa na mhalifu Netanyahu, umbile hili limezidi kujitotesha damu ya watu wa Lebanon na Palestina, kufanya uhalifu, mauaji, kuhamisha na uharibifu.

Soma zaidi...

Anayetafuta Hifadhi katika Umoja wa Mataifa na Mfumo wa Kimataifa ni kama Yule Anayetafuta Hifadhi kutoka kwenye Kikaango hadi ndani ya Moto!

Huku umbile la Kiyahudi likishambulia Ukanda wa Gaza, Ukingo wa Magharibi na Lebanon bila majibu yoyote, isipokuwa kutoka kwa watu binafsi au vikundi, wenye nguvu zisizolingana hata ushuri moja ya zile ambazo wahalifu wakubwa wa mfumo wa kimataifa walizotoa kwa umbile la Kiyahudi; Waziri Mkuu wa Lebanon, Najib Mikati leo ameliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulishinikiza umbile la Kiyahudi kukomesha uvamizi dhidi ya Lebanon.

Soma zaidi...

Kisimamo cha Hizb ut Tahrir katika Mji wa Sidon “Ee Jeshi la Kinana, Wakati Umewadia”

Katika msururu wa visimamo vilivyofanywa na Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon, kuinusuru Gaza na ukakamavu wake dhidi ya mashini ya kihalifu ya kijeshi ya umbile la Kiyahudi, na kuyachochea majeshi kuchukua nyadhifa za fahari zinazohitajika kutoka kwao, hasa jeshi la Kinana Misri, jeshi la Jordan, na majeshi ya Waislamu, ambayo yanaorodheshwa kati ya majeshi ya kwanza duniani kwa idadi na vifaa.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon Kikao “Waliohamishwa Ni Ndugu Zetu”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa kikao kikubwa katika mji wa Tripoli Ash-Sham, kuanzia Msikiti Mkuu wa Al-Mansouri. Hii ilikuwa ni kueleza mshikamano wao pamoja na waliohamishwa na wakimbizi kutoka Syria, ambao walikimbia ukandamizaji wa utawala wa mhalifu Assad na kutafuta hifadhi kwa ndugu zao nchini Lebanon kutafuta usalama na makaazi hadi wapate fursa ya kuregea kwa heshima na usalama katika nchi yao ambako walilelewa na kukulia.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu