Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Hajj Ali Ezz Eldien Al-Duhaibi
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir in Wilayah Lebanon inaomboleza mmoja wa watu wake miongoni mwa wabebaji dawah: Hajj Ali Ezz Eldien Al-Duhaibi
Hizb ut Tahrir in Wilayah Lebanon inaomboleza mmoja wa watu wake miongoni mwa wabebaji dawah: Hajj Ali Ezz Eldien Al-Duhaibi
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon katika mji wa Sidon, ukiwakilishwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Mawasiliano, Mhandisi Bilal Zaidan na Mjumbe wa Kamati ya Amali katika mji wa Sidon, Hajj Hassan Nahhas, walimtembelea Mwakilishi Osama Saad leo, Jumatano, Disemba 11, 2024. Ujumbe huo uliwasilisha msimamo wa Hizb kuhusu matukio mbalimbali hasa yanayojiri katika eneo hali ya Syria, Lebanon na kanda kwa jumla.
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Lebanon inaomboleza kifo cha mmoja wa watu wake waliobeba dawah katika mji wa Sidon na kambi ya Mieh Mieh: Fouad Abdullah Mansour (Abu Imad)
Tunawapongeza Waislamu kwa jumla na watu wa Ash-Sham na Lebanon haswa kwa kuanguka kwa dhalimu wa ash-Sham, Chama cha Baath, familia ya Al-Assad, wapambe wao, majasusi wao na wapumbavu wao, ambaye aliwafanya Waislamu kuonja maovu ya mauaji, mateso, mauaji, kukamatwa na kufurushwa... nchini Lebanon na Syria.
Hebu hata mmoja wetu asisahau kwamba umbile la Kiyahudi ni adui mwenye chuki, anayekalia kwa mabavu, na mwenye kinyongo, anayetamani ardhi na rasilimali zetu. Tangu kuanzishwa kwake, limeendelea kushambulia ardhi zetu kwa usaidizi wa Magharibi, silaha, na ulinzi wa kimataifa kupitia maazimio. Hivi leo, chini ya mamlaka ya serikali ya mrengo mkali wa kulia inayoongozwa na mhalifu Netanyahu, umbile hili limezidi kujitotesha damu ya watu wa Lebanon na Palestina, kufanya uhalifu, mauaji, kuhamisha na uharibifu.
Huku umbile la Kiyahudi likishambulia Ukanda wa Gaza, Ukingo wa Magharibi na Lebanon bila majibu yoyote, isipokuwa kutoka kwa watu binafsi au vikundi, wenye nguvu zisizolingana hata ushuri moja ya zile ambazo wahalifu wakubwa wa mfumo wa kimataifa walizotoa kwa umbile la Kiyahudi; Waziri Mkuu wa Lebanon, Najib Mikati leo ameliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulishinikiza umbile la Kiyahudi kukomesha uvamizi dhidi ya Lebanon.
Katika msururu wa visimamo vilivyofanywa na Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon, kuinusuru Gaza na ukakamavu wake dhidi ya mashini ya kihalifu ya kijeshi ya umbile la Kiyahudi, na kuyachochea majeshi kuchukua nyadhifa za fahari zinazohitajika kutoka kwao, hasa jeshi la Kinana Misri, jeshi la Jordan, na majeshi ya Waislamu, ambayo yanaorodheshwa kati ya majeshi ya kwanza duniani kwa idadi na vifaa.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa kikao kikubwa katika mji wa Tripoli Ash-Sham, kuanzia Msikiti Mkuu wa Al-Mansouri. Hii ilikuwa ni kueleza mshikamano wao pamoja na waliohamishwa na wakimbizi kutoka Syria, ambao walikimbia ukandamizaji wa utawala wa mhalifu Assad na kutafuta hifadhi kwa ndugu zao nchini Lebanon kutafuta usalama na makaazi hadi wapate fursa ya kuregea kwa heshima na usalama katika nchi yao ambako walilelewa na kukulia.
Kwa mnasaba wa miaka mia moja ya kuanguka Khilafah Uthmani mnamo Machi 3, 1924, Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon ilifanya kongamano mjini Tripoli lenye kichwa:
Ujumbe kutoka Mashababu wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Lebanon uliwasilisha salamu za rambirambi kwa ajili ya shahid Sheikh Saleh Al-Arouri, ambaye hivi karibuni alipoteza maisha katika mji mkuu Beirut. Rambirambi hii ilitolewa katika nyumba ya maombolezi iliyoandaliwa kwa ajili yake na wenzake katika Ukumbi wa Quds katika kambi ya Nahr El-Bared, kaskazini mwa Lebanon.