Kuanguka kwa Utawala Dhalimu nchini Syria ni Furaha kwa Wanyonge
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tunawapongeza Waislamu kwa jumla na watu wa Ash-Sham na Lebanon haswa kwa kuanguka kwa dhalimu wa ash-Sham, Chama cha Baath, familia ya Al-Assad, wapambe wao, majasusi wao na wapumbavu wao, ambaye aliwafanya Waislamu kuonja maovu ya mauaji, mateso, mauaji, kukamatwa na kufurushwa... nchini Lebanon na Syria.