Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Kisimamo kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya miaka 14 ya Mapinduzi nchini Tunisia!
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kalima iliyotolewa na shab Muhammad Ali Al-Aouni kwenye Barabara ya Al-Thawra katika mji mkuu Tunis wakati wa kisimamo kilichoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Tunisia kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 14 ya mapinduzi nchini Tunisia.