Barua ya Wazi kwa Waislamu nchini Denmark Kuhusiana na Uchaguzi wa Mabaraza ya Manispaa: Enyi Waislamu: Hamtakuwa na Uzito wala Athari katika Maisha ya Kisiasa Isipokuwa kwa Msingi wa Uislamu.
- Imepeperushwa katika Denmark
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Uchaguzi wa mabaraza ya manispaa unafanyika mwezi huu, kampeni za uchaguzi ziko katika makali zaidi.