Mwaliko wa Kuhudhuria Kikao cha Masuala ya Ummah
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan itaanzisha tena kikao cha kila mwezi, Jukwaa la Masuala ya Ummah, ambalo linajadili masuala ya Ummah na kuwasilisha masuluhisho ya kimsingi kwa kuzingatia imani ya Ummah, itikadi tukufu ya Kiislamu.