Mjumbe wa Marekani Anajihusisha na Udanganyifu na Uongo, Ikifichua Ukweli wa Vita kama Pambano lake na Uingereza
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Udhalimu wa Marekani na jinai zake dhidi ya Sudan, na dhidi ya ardhi zote za Waislamu, hautakoma—kama vile inavyowapa Mayahudi silaha ili kuiangamiza Gaza na kuwaangamiza watu wake huku ikizungumzia amani na kusimamisha vita. Ukandamizaji huu utasitishwa tu na Khilafah Rashida kwa njia ya Utume, inayoongozwa na Khalifa mwadilifu anayeisimamisha Dini, kutekeleza Sharia, na kuwatetea waumini na wanaodhulumiwa.