Nidhamu ya Elimu ya Kibepari Kamwe Haitoleta Maendeleo Yoyote
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Karibuni Shirika la International Development Association (IDA) liliipatia Zanzibar kiasi cha dolari $50 millioni (takriban Sh116.7 billioni) kwa dhamira ya kuboresha uwezo wa ufundishaji na kusaidia kuziba pengo la kijinsia katika mchakato wa kutoka darasa moja kwenda jengine.