Mwezi Huu Ulio Barikiwa na Uwashajiishe Waislamu Kulinda na Kutetea Matukufu Yetu
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tunatoa pongezi za dhati kwa Ummah wa Kiislamu nchini Tanzania na ulimwengu mzima kwa kuanza kwa mwezi wa Ramadhan. Mwezi wa baraka, msamaha na kuachwa huru na Moto wa Jahannam.