Hizb ut Tahrir Tanzania Yazindua Kampeni ya Miaka 100 ya Kuangushwa Khilafah
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir Tanzania Yazindua Kampeni ya Miaka 100 ya Kuangushwa Khilafah
Hizb ut Tahrir Tanzania Yazindua Kampeni ya Miaka 100 ya Kuangushwa Khilafah
Tangu serikali mpya ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar chini ya Raisi Hussein Mwinyi kuingia madarakani imeonekana kana kwamba ina dhamira ya kweli kurejesha uwajibikaji, kukabiliana na ufisadi, rushwa na vitendo vya ubadhirifu wa mali za Umma vilivyotendwa na baadhi ya maafisa wa serikali iliyotangulia.
Ni karibu miaka mitatu sasa tangu wanachama watatu wa Hizb ut Tahrir Tanzania: Ustadh Ramadhan Moshi (41), Waziri Suleiman (33) na Omar Salum Bumbo (51) kunyakuliwa kisha kubambikiziwa mashtaka ya uongo ya ‘kula njama ya kutenda ugaidi’ na ‘kutenda matendo ya ugaidi’.
Kufuatia mkutano wa waandishi habari wa wawakilishi wa familia tatu za mahabusu: Omar Salum Bumbo, Ramadhan Moshi Kakoso, na Waziri Suleiman Mkaliaganda mnamo 09 Julai 2020 huko Magomeni Makuti, Dar es Salaam,
Kutokana na ukweli kwamba wanaharakati watatu wa Hizb ut Tahrir / Tanzania (Ust. Ramadhan Moshi Kakoso, Wazir Suleiman Mkaliaganda na Omar Salum Bumbo) wanazuiliwa bila ya hukumiwa au ridhaa kwa zaidi ya miaka miwili, dhurufu zizo hizo pia zinawakumba wafungwa wengine miongoni mwa wanachuoni wa Kiislamu wa kundi la Uamsho ambao pia wanazuiliwa kwa zaidi ya miaka saba sasa, pamoja na wafungwa wengineo (Waislamu na wasiokuwa Waislamu) wakinyanyaswa katika hali hiyo hiyo, Hizb ut Tahrir / Tanzania ingependa kutangaza uzinduzi wa kampeni maalumu kutetea haki zao.
Hizb ut Tahrir / Tanzania imekamilisha kampeni ya Ufunguzi wa Konstantinopoli iliyo zinduliwa mwanzoni mwa mwezi huu na Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir, kama kampeni pana ya kiulimwengu kuadhimisha tukio adhimu la Hijria la Ukombozi wa Konstantinopoli (mji wa Heraclius) ambao ulizingirwa kuanzia 26 Rabii' al-Awwal hadi 20 Jumada al-Awwal 857 H sawia na 5 Aprili hadi 29 Mei 1453 M
Licha ya madai ya Polisi kuwa kazi yake ni kuhifadhi na kulinda maisha ya watu, mali na heshima kiuhalisia huu ni mwito mtupu ulio mbali na ukweli. Limenyanyasa wengi kwa jumla huku jamii ya Waislamu wakiwa ndio waathiriwa wakubwa zaidi.
Ripoti ya hivi karibuni ya ukaguzi nchini Tanzania imefichua zaidi kwamba katika mfumo wa kirasilimali unaojifunga na kipimo cha maslahi, kadhia ya kupambana na ufisadi inasalia kuwa maneno matupu bila ya uhalisia wowote hata ingawa baadhi ya watu ndani ya nidhamu hii wanadai kuwa makini katika kupambana nao.
Jana, Ijumaa 5 Aprili 2019 / 29 Rajab 1440 Hijri, Hizb ut Tahrir / Tanzania ilituma ujumbe hadi Ubalozi wa Uchina nchini Tanzania ili kufikisha barua maalumu ya kuwasilisha malalamishi juu ya mateso ya dola ya Uchina kwa Waislamu wa Uyghur.
Uchina kama taifa la kirasilimali haijihusishi tu kuzitumia kilafi rasilimali za kiasili za mataifa yanayo endelea hususan bara la Afrika na kulazimisha juu yao mzigo wa mikopo usio himilika, pia inatekeleza kampeni ya ghasia, vurugu na ukatili dhidi ya Uislamu na Waislamu wa Turkestan Mashariki, eneo ambalo lilivamiwa kinguvu na kutekwa na Uchina.