Ubepari Hauna Dhamira ya Kuzuia Mimba kwa Wanafunzi
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kufuatia taarifa za karibuni kwamba ndani ya mwezi mmoja takriban wanafunzi 194 wa shule za msingi na sekondari katika wilaya ya Momba mkoani Songwe (Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania) wamepata ujauzito.