Katika Urasilimali, Kamari ni 'Bidhaa yenye Manufaa'
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kuna kilio kikubwa juu ya kukua kupita kiasi kwa vitendo vya kamari nchini Tanzania ambavyo vimeenea na kuwavutia vijana wengi kujihusisha navyo.