Mfuko wa Fedha wa Kimataifa wafikia Kukaba Uchumi wa Yemen…
Jumapili, 27 Rabi' II 1447 - 19 Oktoba 2025
Mnamo tarehe 15/10/2025, Gavana wa Benki Kuu ya Aden, Ahmed Al-Maabqi, alikutana jijini Washington D.C., na mkuu wa ujumbe wa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) nchini Yemen, Esther Pérez Ruiz, na mwakilishi wa IMF, Mohamed Maait, akiandamana na Naibu Waziri wa Fedha Hani Wahab na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Waziri Msaidizi wa Fedha Abdul Qader Amin. Hii ilifuatiwa na mkutano kati ya Waziri wa Mipango na Ushirikiano wa Kimataifa na Gavana wa Yemen kwa Benki ya Dunia, Waed Badhib, na Riccardo Puliti, Makamu wa Rais wa Shirika la Fedha la Kimataifa wa Kanda ya Mashariki ya Kati, pamoja...
Mafunzo Kutokana Na Jinsi Nchi Kubwa Zaidi ya Kidemokrasia Duniani…
Gazeti la ‘The Indian Express’ limechapisha makala yenye kichwa “Pindi kutokuwepo kukizungumza kwa sauti ya…
Al-Waqiyah TV: Kwa Mukhtasari “Kuweni Waangalifu, Vita Bado Havijakwisha!”
Al-Waqiyah TV: Kwa Mukhtasari “Kuweni Waangalifu, Vita Bado Havijakwisha!”
Kuwakataa Wanariadha wa ‘Israel’: Kipimo Halisi cha Msimamo Madhubuti wa…
Indonesia: Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) ilikataa rufaa ya Shirikisho la Michezo ya Viungo…
Watawala wa Pakistan Wanataka Kulitambua Umbile la Kiyahudi
Mnamo tarehe 18 Oktoba, mkuu wa jeshi Asim Munir alithibitisha tena uungaji mkono usioyumba wa…
Wanawake wa Kashmiri Walibakwa na Kuteswa na Uvamizi wa Dola…
Wakati wa Kikao cha 60 cha Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa…