Jinsi Viongozi wa Waislamu Wanavyoitelekeza Gaza kwa ajili ya Diplomasia…
Ijumaa, 24 Dhu al-Hijjah 1446 - 20 Juni 2025
Rais wa Indonesia Prabowo Subianto alihimiza kusitishwa kwa mapigano mara moja kati ya 'Israel' na Hamas, na akatoa wito wa kusitishwa kwa mzozo wa 'Israel' na Iran. Akizungumza nchini Singapore na Waziri Mkuu Lawrence Wong, Prabowo alisisitiza haja ya azimio la amani kupitia diplomasia. Alionyesha wasiwasi wake mkubwa juu ya vifo vya raia huko Gaza na kuongezeka kwa mvutano katika Mashariki ya Kati. Zaidi ya hayo, alizungumzia mzozo wa Myanmar, akisisitiza kujitolea kwa ASEAN kwa Makubaliano ya Mambo Tano ya kukomesha vurugu na kukuza mazungumzo jumuishi. Indonesia na Singapore zilikubali kuendelea kuunga mkono ushirikiano wa amani nchini Myanmar na kuzingatia...
Kuharibu Masoko kama vile Soko la Dokhinat ni Vita dhidi…
Katika kitendo cha kikatili na vurugu, mamlaka za eneo la Jabal Awlia, Jimbo la Khartoum,…
Kati ya Usaliti wa Palestina na Kashmir na Utumwa kwa…
Katika wakati ambapo Amerika inapigana vita dhidi ya jirani Muislamu, Iran, kwa kutumia mkono wake…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 552
Vichwa Vikuu vya Toleo 552
Si Mageuzi ya Uchaguzi wala ya Katiba Yatakayoikomboa Tanzania
Wakati Tanzania ikitarajia kuwa na Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025, wimbi la mgawanyiko wa kisiasa na…
Kauli zilizotolewa na Waziri Mkuu Nawaf Salam kuhusu Hamu yake…
Katikati ya angahewa Amerika inaenea katika eneo hili kupitia kwa rais wake Trump, akitoa wito…