Ijumaa, 11 Dhu al-Qi'dah 1446 | 2025/05/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Hatua Mpya za UN na za Kanda za Kuoanisha Serikali Tawala ya Afghanistan ndani ya Mfumo wa Kisekula wa Dunia

Hatua Mpya za UN na za Kanda za Kuoanisha Serikali…

Ijumaa, 4 Dhu al-Qi'dah 1446 - 02 Mei 2025

Katika siku za hivi karibuni, Umoja wa Mataifa umekuwa ukifuatilia shughuli zake nchini Afghanistan kwa kasi zaidi kuliko hapo awali. Ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Masuala ya Kibinadamu jijini Kabul na Kandahar, pamoja na mwaliko wa Amir Khan Muttaqi-Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali tawala nchini Qatar, inaashiria juhudi mpya za kuendeleza mipango ya kimataifa na kushawishi serikali ya Afghanistan.

Afisi ya Habari

Hatua Mpya za UN na za Kanda za Kuoanisha Serikali Tawala ya Afghanistan ndani ya Mfumo wa Kisekula wa Dunia

Hatua Mpya za UN na za Kanda za Kuoanisha Serikali Tawala ya Afghanistan ndani ya Mfumo wa Kisekula wa Dunia

Ijumaa, 4 Dhu al-Qi'dah 1446 - 02 Mei 2025

Katika siku za hivi karibuni, Umoja wa Mataifa umekuwa ukifuatilia shughuli zake nchini Afghanistan kwa kasi zaidi kuliko hapo awali. Ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Masuala ya K...

Mkondo wa Bahari wa Suez: Mtazamo kwa Kauli za Trump na Msimamo wa Utawala wa Misri

Mkondo wa Bahari wa Suez: Mtazamo kwa Kauli za Trump na Msimamo wa Utawala wa Misri

Jumatano, 2 Dhu al-Qi'dah 1446 - 30 Aprili 2025

Katika onyesho jengine la kiburi, Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza kwenye jukwaa la "Ukweli wa Kijamii" kwamba meli za Kimarekani zinapaswa kupita kwenye Mikondo ya Suez na Panama bila malipo,...

Matoleo

Muandamo wa Mwezi kwa Ramadhan na Idd: Wito wa Kiwahyi wa Umoja

Muandamo wa Mwezi kwa Ramadhan na Idd: Wito wa Kiwahyi wa Umoja

Ijumaa, 29 Sha'aban 1446 - 28 Februari 2025

Kufunga ni (Ibada Tawqifiyah) “kama ilivyofaradhishwa ibada na Mwenyezi Mungu”; lengo lake lililoelezwa katika Aya “Ili mpate Taqwa” ili kujenga uchamungu binafsi na kuimarisha mafungamano ya jamii. H...

Habari za Dawah

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Kongamano Kubwa la Gaza!

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Kongamano Kubwa la Gaza!

Jumamosi, 5 Dhu al-Qi'dah 1446 - 03 Mei 2025

Hizb ut Tahrir/Wilayat Uturuki inaandaa kongamano la halaiki lenye kichwa “Kongamano Kubwa la Gaza” jijini Ankara, ambapo suluhisho la kweli na la kudumu la kadhia ya Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) l...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Baada ya Mbabe wa Kiyahudi wa Trump wa Magharibi, Mbabe wa Kibaniani wa Trump wa Mashariki atangaza Vita dhidi ya Umma wa Kiislamu!

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Baada ya Mbabe wa Kiyahudi wa Trump wa Magharibi, Mbabe wa Kibaniani wa Trump wa Mashariki atangaza Vita dhidi ya Umma wa Kiislamu!

Jumatano, 25 Shawwal 1446 - 23 Aprili 2025

Baada ya kukutana na Makamu wa Rais wa Trump, J.D. Vance, Modi alisitisha Mkataba wa Maji wa Indus mnamo 23 Aprili 2025, akitishia usambazaji wa maji kwa Pakistan. Enyi, simba wa jeshi la Pakistan! Ha...

Kisimamo cha Kulaani cha Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Lebanon jijini Beirut “Kutoka Beirut hadi Gaza, Kuweni Answari wa Mwenyezi Mungu, Enyi Majeshi ya Ummah”

Kisimamo cha Kulaani cha Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Lebanon jijini Beirut “Kutoka Beirut hadi Gaza, Kuweni Answari wa Mwenyezi Mungu, Enyi Majeshi ya Ummah”

Jumamosi, 28 Shawwal 1446 - 26 Aprili 2025

Mamia ya Mashababu (wanachama) na wafuasi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon walishiriki katika kisimamo cha kulaani kilichoitishwa na Hizb, baada ya swala ya Ijumaa mnamo tarehe 25/4/2025, j...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Tunahitaji Jeshi la Waislamu Kuinusuru Gaza, sio “Mbwa Mwitu walio Pweke”!

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Tunahitaji Jeshi la Waislamu Kuinusuru Gaza, sio “Mbwa Mwitu walio Pweke”!

Jumatatu, 16 Shawwal 1446 - 14 Aprili 2025

Video ya afisa mmoja kijana wa jeshi wa Pakistan akitaka kwenda Gaza imesambaa, na wakati huo huo, video nyingine ya afisa sawia wa Misri imesambaa. Enyi maafisa wa majeshi ya Waislamu! Ikiwa hamuwezi...

Makala

Mafanikio ya Kweli Mpaka Siku ya Mwisho ni kwa Umma wa Kiislamu Pekee

Mafanikio ya Kweli Mpaka Siku ya Mwisho ni kwa Umma wa Kiislamu Pekee

Jumamosi, 15 Ramadan 1446 - 15 Machi 2025

Hata leo, katikati ya misiba isiyohesabika na isiyoweza kuvumilika, Ummah huu umethibitika kuwa thabiti katika kitambulisho chake na hivyo hauwezi kuangamizwa. Imethibitika kuwa unastahiki vyeo ulivyo...

Wanawake Waliofaulu katika Uislamu wana Sifa hizi

Wanawake Waliofaulu katika Uislamu wana Sifa hizi

Jumanne, 11 Ramadan 1446 - 11 Machi 2025

Katika Uislamu, hakuna fahamu ya kuingia Jannat kulingana na nani unamjua na hadhi yako ya kidunia ni ipi. Wote walisifiwa na Mwenyezi Mungu (swt) kwa sababu ya sifa zao za pamoja za kuwa karibu katik...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu