Mabadiliko kama Yalivyofafanuliwa katika Quran na Sunnah
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Pindi mtu anapokuwa ameikubali Shahada na kujitolea kuwa mja wa Mwenyezi Mungu (swt), hakuna upinzani katika kusalimisha fikra na hisia zake zote kwa yale yaliyoamrishwa katika Quran na Sunnah.