Kenya: Kampeni na Amali za Kutaka Kuachiliwa Huru kwa Naveed Butt!
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Zaidi ya miaka tisa imepita tangu serikali nchini Pakistan imteke nyara mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan, na tangu alipotekwa nyara haijulikani alipo!