Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali Kubwa “Imetosha… Umewadia Wakati wa Vitendo sio Maneno!”
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa miezi saba, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 115,000, wanaume na wanawake, hadi sasa, Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Uturuki inaandaa amali kubwa za halaiki katika maeneo 17 tofauti tofauti nchini Uturuki.