Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Kongamano “Khilafah ndio Mkombozi wa Nchi na Mtetezi wa Waja”
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 100 M (103 H) ya kuvunjwa Dola ya Kiislamu (Khilafah) na chini ya giza la uvamizi na mauaji ya halaiki yanayoendelea dhidi ya watu wetu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina), Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon ilifanya kongamano lenye kichwa: “Khilafah ndio Mkombozi wa Nchi na Mtetezi wa Waja”