Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (468)
- Imepeperushwa katika Jarida la Al-Waie
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (468)
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (468)
Makubaliano ya kusitisha mapigano ya tarehe 27/11/2024, kati ya umbile la Kiyahudi na mamlaka za Lebanon, chini ya usimamizi wa moja kwa moja wa Marekani, yaliweka msingi wa kisiasa wa kukipokonya silaha chama cha Iran na mirengo mengine ya Palestina nchini Lebanon. Hii haikuwa kutokana na kutaka "amani" kutoka Marekani, bali ni kuhakikisha usalama wa umbile la Kiyahudi katika maandalizi ya kuondoa uwezo mdogo uliobaki wa Waislamu wa kupigana nao, hasa baada ya matukio ya Kimbunga cha Al-Aqsa.
Sehemu ya amali za kimataifa zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir kote ulimwenguni katika kuwanusuru na kuwaombea nusra watu wetu mjini Gaza na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu, kuanzia mto wake hadi bahari yake.
Vichwa Vikuu vya Toleo 560