Hotuba ya Tano Katika Kongamano: ‘Vijana Waislamu …Waanzilishi wa Mabadiliko Msingi’
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Dada zangu wapendwa na wageni waheshimiwa, mgogoro wa utambulisho unaoathiri wengi wa vijana wetu wa Kiislamu ni mojawapo ya kadhia sugu mno zenye kuathiri Ummah huu.