Mwanamke ni Heshima Ambayo ni Lazima Ilindwe, Sio Bidhaa Hairuhusiwi kwa Mwanamke Kuchuma Pato Isipokuwa la Kazi ya Mikono Yake
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Mji mkuu wa Sudan, Khartoum, alishuhudia onyesho la mitindo kwa wanawake kwa mara ya pili na mwanamitindo Nermin Qarqafi, lililohudhuriwa na kundi la vyombo vya habari, sanaa na watu maarufu wa jamii.