Jumapili, 24 Dhu al-Hijjah 1445 | 2024/06/30
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kampeni ya Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: "Ukombozi wa Konstantinopoli Bishara Njema Ikatimia... inafuatiwa na Bishara Njema Nyingine!"

Kwa muongozo wa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amlinde, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir imezindua kampeni pana ya kiulimwengu kuadhimisha tukio Adhimu la Hijria la Ukombozi wa Konstantinopoli (mji wa Heraklias) ambao ulizungukwa kuanzia mnamo 26 Rabii’ al-Awwal mpaka 20 Jumada al-Awwal 857 H sawia na 5 Aprili mpaka

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / India Bara dogo la India: Kampeni kubwa ya kukumbuka kuanza kwa Vita vya Dunia vya Kwanza na kuvunjwa kwa Khilafah

Hizb ut Tahrir ndani ya Bara dogo la India imeandaa ndani ya siku zijazo kampeni kubwa ya kukumbuka kuanza kwa Vita vya Dunia vya Kwanza ambavyo mwisho wake kulipelekea kuvunjwa kwa Khilafah na kuvunjwa kwa nguzo za Dola ya Kiislamu ambayo ilikuwa imeasisiwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) kwa kutumia wasaliti baadhi katika Waarabu waliowakilishwa na khaini Hussein bin Ali na watoto wake na Waturuki wakiwakilishwa na muhalifu wa karne, aliyefariki Mustafa Kamal.

Soma zaidi...

Kitengo cha Wanawake cha Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir kimezindua Kampeni na Kongamano la Kiulimwengu: Changamoto za Familia na Suluhisho za Kiislamu

Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir kilizindua kampeni ya kiulimwengu kwa anwani, “Familia: Changamoto na Suluhisho la Kiislamu” ambayo itamalizikia katika kongamano la kimataifa la wanawake mwishoni mwa Oktoba litakalo hudhuriwa na wazungumzaji kutoka pembe zote za dunia.

Soma zaidi...

Kampeni ya Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: #WaacheniHuruDadaZetu #MwacheniHuruDadaRomana #MwacheniHuruDktRoshan

Watawala waovu wa Pakistan wanaendelea kuwalazimisha vibaraka wa Amerika nchini Pakistan na kuwalazimisha juu ya shingo za Waislamu, hususan wanachama na wafuasi wa Hizb ut Tahrir, sasa imechukua hatua kakamavu zaidi katika mbinu zao ovu kuteka nyara wanawake!

Soma zaidi...

Kampeni ya Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir "Muokoe Mateka Jannat Bespalova!"

Kutokana na maafa yanayo tekelezwa na serikali ya kihalifu ya Urusi dhidi ya Waislamu wa Urusi, leo, mamia ya Waislamu wanafungwa katika magereza ya Urusi kwa sababu ya kushiriki kwao katika kazi ya Hizb ut Tahrir. Walituhumiwa “ugaidi” kirongo kwa kutegemea uamuzi wa kufedhehesha wa Mahakama ya Upeo wa kuiorodhesha Hizb ut Tahrir kama shirika la kigaidi. Kwa mujibu wa uamuzi huu wa kiajabu, Chama hiki cha Kisiasa cha Kiislamu, kikawa chama cha “kigaidi”.  

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu