Mikutano na Matembezi ya Kulaani Yaliyoandaliwa na Hizb ut Tahrir…
Ijumaa, 27 Rajab 1447 - 16 Januari 2026
Hizb ut Tahrir katika Wilayah Bangladesh, iliandaa mikutano na matembezi mengi ya kulaani leo, Ijumaa (16 Januari 2026), baada ya swala ya Ijumaa, katika majengo mbalimbali ya misikiti jijini Dhaka na Chattogram, dhidi ya mpango wa kupeleka vikosi vya nchi hii kwa “Kikosi cha Kuleta Utulivu wa Kimataifa” kilichopendekezwa na Trump huko Gaza. Ili kupinga mpango huu mbaya wa Marekani, na kuwataka wagombea na vyama vya kisiasa katika uchaguzi ujao kuelezea msimamo wao kuhusu suala hili.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Iraq: Rajab kati ya Jana…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Iraq: Rajab kati ya Jana na Leo!
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (473)
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (473)
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Angazo la…
Katika mwezi mtukufu wa Rajab wa mwaka huu, 1447 H (2026 M), tunakumbuka kumbukumbu ya…
Hizb ut Tahrir / Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina): Amali kwa Mnasaba…
Kutoka ukurasa huu, tutaangazia amali zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kwa…
Katika Kumbukumbu ya Miaka 105 ya Kuvunjwa kwa Khilafah... Dunia…
Mtu anaweza kufikiri, huku akiangalia yanayojiri hivi karibuni katika ngazi ya kimataifa na katika ardhi…




