Jumatano, 04 Rajab 1447 | 2025/12/24
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Kifo cha Imam Fouad Saeed Abdulkadir: Pindi Hifadhi Inapogeuka Kuwa Mkasa

Kifo cha Imam Fouad Saeed Abdulkadir: Pindi Hifadhi Inapogeuka Kuwa…

Jumanne, 3 Rajab 1447 - 23 Disemba 2025

Idara ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) imethibitisha kifo cha Fouad Saeed Abdulkadir, raia wa Eritrea mwenye umri wa miaka 46, ambaye alifariki tarehe 14 Disemba akiwa kizuizini mwa ICE katika Kituo cha Ushughulikiaji cha Moshannon Valley huko Pennsylvania. Kulingana na ICE, Imam Abdulkadir anaripotiwa kupata maumivu ya kifua na kupokea uangalizi kutoka kwa wafanyikazi wa matibabu na huduma za matibabu za dharura. Kifo chake, mojawapo ya vifo kadhaa vilivyoripotiwa katika vituo vya ICE, bado kinachunguzwa na kimeongeza uchunguzi wa hali za uzuizi na upatikanaji wa huduma za afya za kutosha kwa wafungwa.

Afisi ya Habari

Kifo cha Imam Fouad Saeed Abdulkadir: Pindi Hifadhi Inapogeuka Kuwa Mkasa

Kifo cha Imam Fouad Saeed Abdulkadir: Pindi Hifadhi Inapogeuka Kuwa Mkasa

Jumanne, 3 Rajab 1447 - 23 Disemba 2025

Idara ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) imethibitisha kifo cha Fouad Saeed Abdulkadir, raia wa Eritrea mwenye umri wa miaka 46, ambaye alifariki tarehe 14 Disemba akiwa kizuizini mwa ICE katika...

Maombolezo ya Rakhmatov Shukhratjon Mmoja wa Wanaume Waliotikisa Misingi ya Utawala wa Ukandamizaji wa Karimov

Maombolezo ya Rakhmatov Shukhratjon Mmoja wa Wanaume Waliotikisa Misingi ya Utawala wa Ukandamizaji wa Karimov

Jumamosi, 29 Jumada II 1447 - 20 Disemba 2025

Kwa huzuni na majonzi makubwa, tunaomboleza kwa Ummah mzima wa Kiislamu, na hasa kwa Waislamu wa nchi yetu, kifo cha ndugu yetu Rakhmatov Shukhratjon, ambaye alisalimisha roho yake kwa Muumba wake jan...

Matoleo

Enyi Waislamu: Kufunga Vyumba vya Ibada ni Shambulizi kwa Uislamu na Lazima Kukabiliwe kwa Upinzani Mkali, wa Pamoja wa Kisiasa

Enyi Waislamu: Kufunga Vyumba vya Ibada ni Shambulizi kwa Uislamu na Lazima Kukabiliwe kwa Upinzani Mkali, wa Pamoja wa Kisiasa

Jumapili, 16 Jumada II 1447 - 07 Disemba 2025

Baada ya mwelekeo hasi wa kisiasa kwenye vyumba vya ibada, idara ya Chuo Kikuu cha Copenhagen iliamua mwishoni mwa Novemba kufunga kile kinachoitwa “vyumba vya utulivu,” ambavyo Waislamu walikuwa waki...

Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Ruwaza ya Khilafah Rashida

Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Ruwaza ya Khilafah Rashida

Jumatano, 20 Rabi' II 1447 - 12 Novemba 2025

Sera ya elimu nchini Tunisia, kama moja ya nguzo za dola ya kisasa, imefeli, na mageuzi yanayorudiwa rudiwa hayajafanikiwa. Watoto wetu wamekuwa chini kabisa katika orodha ya kimataifa, na shule na vy...

Habari za Dawah

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Wakutana na Kiongozi wa Al-Ikhwan Al-Muslimina Hassan Abdel Hamid

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Wakutana na Kiongozi wa Al-Ikhwan Al-Muslimina Hassan Abdel Hamid

Jumamosi, 29 Jumada II 1447 - 20 Disemba 2025

Jana, Ijumaa 19/12/2025, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, ukiongozwa na Ustadh Nasser Ridha, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan, akifuatana na Ustadh...

DVD ya Gazeti la Al-Rayah Sehemu ya 7 (Toleo 471 – 570)

DVD ya Gazeti la Al-Rayah Sehemu ya 7 (Toleo 471 – 570)

Jumapili, 1 Rajab 1447 - 21 Disemba 2025

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wageni wa kurasa za Afisi Kuu ya Habari DVD mpya yenye kichwa: Gazeti la Al-Rayah Sehemu ya 7 (Matoleo 471-570) ...

DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir (Imejadidishwa)

DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir (Imejadidishwa)

Ijumaa, 9 Rabi' II 1442 - 17 Januari 2025

DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir ...

DVD “Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kuinusuru Gaza!”

DVD “Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kuinusuru Gaza!”

Ijumaa, 21 Jumada II 1447 - 12 Disemba 2025

Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa ya mujahidina katika ardhi iliyobarikiwa ya Palestina mnamo 7 Oktoba 2023, chini ya kauli mbiu ya “Kimbunga cha Al-Aqsa,” dhidi ya umbile nyakuzi la Kizayuni, ambalo...

Habari

Mwangwi wa Himaya: Uharamia wa Marekani Pwani ya Venezuela

Mwangwi wa Himaya: Uharamia wa Marekani Pwani ya Venezuela

Jumamosi, 29 Jumada II 1447 - 20 Disemba 2025

Mnamo tarehe 10 Disemba 2025, Marekani ilimkamata nahodha wa meli ya mafuta kutoka pwani ya Venezuela, ikipanda meli hiyo na kuelekeza shehena yake ya takriban mapipa milioni 1.8 ya mafuta ghafi ya Ve...

Yaonekana Mazuri, lakini Ndani Hamna Kitu!

Yaonekana Mazuri, lakini Ndani Hamna Kitu!

Ijumaa, 28 Jumada II 1447 - 19 Disemba 2025

Rais Erdoğan, katika hotuba yake baada ya mkutano wa baraza la mawaziri, pia aligusia mwelekeo wa Uturuki wa sera ya kigeni, akisema: “Uturuki imeipa dunia funzo katika haki za binadamu kupitia juhudi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu