Umaskini Ulioenea na wa Kimuundo Nchini Afghanistan: Matokeo ya Kufeli…
Ijumaa, 5 Dhu al-Hijjah 1447 - 22 Mei 2026
Ripoti za hivi karibuni—ikiwa ni pamoja na ripoti ya kushtua ya BBC kutoka mkoa wa Ghor, kujichoma moto kwa mhandisi jijini Kabul, na simulizi zinazorudiwa rudiwa za watu wanaouza figo—zimefichua janga la kibinadamu linaloumiza moyo wa kila Muislamu. Katika baadhi ya miji, foleni ndefu za watu wanaotafuta kazi, njaa, na umaskini zimekuwa uhalisia unaoonekana. Wengine, wakiwa wamekandamizwa na umaskini na madeni, wamelazimika kuwauza binti zao wadogo ili kuokoa maisha ya wanafamilia wengine. Ripoti za UNDP zinaonyesha kwamba watu watatu kati ya kila wanne nchini Afghanistan hawawezi kukidhi mahitaji yao ya msingi ya maisha, na zaidi ya asilimia kumi ya idadi...
ACSA na GSOMIA: Watu Wenye Ufahamu na Wanasiasa Wenye Ikhlasi…
Inatisha sana kwa watu wa Bangladesh, wakati vyanzo mbalimbali vinathibitisha kwamba Marekani na Bangladesh zinaendelea…
Hakuna Mwisho wa Mauwaji kwa Watoto wa Palestina na Lebanon…
Mnamo tarehe 13 Mei, UNICEF iliripoti kwamba angalau watoto 59 waliuawa au kujeruhiwa nchini Lebanon…
Pakistan yenye Nyuklia Ni Sehemu Isiyofutika ya Ummah wa Kiislamu,…
Kitengo cha vyombo vya habari cha vikosi vya jeshi vya Pakistan, Inter-Services Public Relations (ISPR),…
Ikiwa Serikali ya Iran Itaanguka, Je, Putin Ataipoteza Asia ya…
Tangu kuanza kwa uvamizi wa kijeshi wa Marekani na umbile la Kiyahudi dhidi ya Iran,…
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (478)
Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (478)




