Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Kisimamo cha Port…
Ijumaa, 20 Rabi' I 1447 - 12 Septemba 2025
Kisimamo kilichofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayat Sudan ili kufelisha mpango wa kuitenganisha Darfur kilipokelewa kwa maingiliano makubwa, ikiwemo takbir, tahlil, na kuungwa mkono, pamoja na uhamasishaji wa vyombo vya habari na wa kisiasa mbele ya msikiti mkuu katika mji wa Port Sudan. Waumini walikusanyika baada ya swala ya Ijumaa mnamo 20 Rabi' al-Awwal 1447 H 12 Septemba 2025 M kwenye Msikiti Mkuu wa Port Sudan katika kisimamo kilichofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayat Sudan mbele ya Msikiti huo Mkuu kama sehemu ya kampeni ya Hizb kukwamisha mpango wa kuitenganisha Darfur.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha…
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kimezindua kampeni ya…
Sehemu za dhati za nchi Lazima Ziungane dhidi ya Sera…
Serikali ya mpito inaisaliti nchi kwa kuonyesha kusitasita kulinda Mipaka yetu kutoka kwa ‘Jeshi la…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh: Kongamano la Kisiasa “Bangladesh…
Hizb ut Tahrir/Wilayat Bangladesh yaandaa kongamano la kisiasa lenye kichwa: “Bangladesh 2.0: Utegemezi au Ukombozi?”
Umbile la Kiyahudi ndilo Tatizo Kubwa zaidi katika Nchi za…
Vyombo vya habari viliripoti taarifa ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu Gaza, ambapo alisema,…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh Yawaalika Watu Wote Watambuzi,…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh, imeandaa kongamano la kisiasa la mtandaoni lenye kichwa “Bangladesh…