Jibu kwa Mwandishi wa Makala (Usekula na Ugumu wa Historia…
Jumatano, 17 Dhu al-Hijjah 1447 - 03 Juni 2026
Uislamu ni itikadi ya kiroho na kisiasa ambayo ilikuja kushughulikia matatizo ya wanadamu, kwa kutambua kwamba wanadamu wana silika (ghariza) na mahitaji ya kimwili ambayo yanahitaji kushibishwa. Uislamu umebainisha jinsi mahitaji haya yanavyopaswa kukidhiwa bila ya ziada au upungufu, kupitia hukmu kutoka kwa Mwenye hekima, Mjuzi wa yote. Yeye aliyewaumba wanadamu anajua kipi kuna manufaa na kipi kina madhara kwao! Ukosefu wa elimu wa mwandishi juu ya hukmu hizi haumwondolei jukumu; badala yake, unasisitiza kutoujua kwake Uislamu.
Vikosi vya Msaada wa Haraka Vinafanya Mauaji Dhidi ya Watu…
Mnamo Alhamisi na Ijumaa, Mei 28 na 29, 2026, Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF)…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 603
Vichwa Vikuu vya Toleo 603
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 602
Vichwa Vikuu vya Toleo 602
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…
Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Kadhia za…
Tunafuraha, kama Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, kuwaalika wanahabari, wanasiasa, na wote walio na…




