Namna Khilafah Ilivyo Vunjwa kwa Kifupi
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Namna Khilafah Ilivyo Vunjwa kwa Kifupi
Namna Khilafah Ilivyo Vunjwa kwa Kifupi
Tunasikia, tunasoma na hata kuishi nazo, ni athari za kukosekana kwa Khilafah na dola ya Kiislamu inayohukumu kwa Uislamu.
Kwa kuwa ushuhuda wa Waislamu wanne wa wema wa Muislamu unatosha kumuingiza peponi, Naveed Butt ana ushuhuda kama huo kutoka kwa maelfu ambao wameingiliana naye kibinafsi.
Tutafuteni Radhi za Mwenyezi Mungu (swt) Katika Kila Jambo, Tutimize Lengo Lake Kama Mwenyezi Mungu (swt) Alivyotuamrisha
Tunapoiangalia dunia, tunaona makundi ya nchi washirika yakiwa yanapingana kila moja, na tutashangazwa juu ya tofauti itayokuwepo kama kutakuwa na Dola ya Khilafah katika mchanganyiko huo.
Januari 2021 imeshuhudia muongo mmoja wa maadhimisho ya Vuguvugu la Waarabu. Wakati madikteta wa muda mrefu wakiondolewa madarakani, pia tulishuhudia kuibuka kwa serikali mpya katika nchi kama Tunisia na Misri.
Baada ya mashambulizi ya fujo kwenye Makao ya Serikali ya Amerika (US Capitol Hill), wito wa mashtaka kwa Trump na kutaka ajiuzulu umepamba moto kote katika jamii ya Wamarekani.
“Imepita miaka minane, tukizunguka kutoka mahakama moja kwenda nyengine na nyengine, lakini hakuna aliyeweza kumtoa mume wangu.
Vidonda vyenye kuchuruzika damu mwilini mwa Umma wa Kiislamu ni vingi na vinaongezeka kwa kukosekana kwa ngao ya ulinzi na mlezi Khalifah; mojawapo ni janga la Waislamu wa Sri Lanka.
Kwa sasa, kitisho ambacho Waislamu wa Uyghur wanakabiliana nacho nchini China ni maarufu; mateso, utoaji mimba wa lazima kwa wanawake wa Uyghur, kutenganishwa kwa nguvu na kufanyishwa kazi kwa nguvu.