Hizb ut Tahrir/ Wilayah Tunisia: Kisimamo cha Hali ya Juu Mbele ya Ubalozi wa Pakistan
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jumatatu asubuhi, Juni 21, 2021 ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilaya Tunisia ulizuru ubalozi wa Pakistan jijini Tunis ambapo ulimkabidhi kaimu wa shughuli za ubalozi huo nakala mbili za taarifa kwa vyombo vya habari ya Kiarabu na Kiurdu iliyotolewa na Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inayoihutubia serikali ya Pakistan chini ya anwani,