Jumatano, 18 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/10
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Je, Mubashir Ahmad Atakuwa Mwathirika Mwengine wa Utawala wa Uzbekistan?

Mnamo Agosti 19 mwaka huu, mashtaka yalianza katika kesi ya jinai dhidi ya Alisher Tursunov, anayejulikana kwa jina lake bandia Mubashir Ahmad. Anatuhumiwa kwa kuchapisha machapisho yanayopigia debe mawazo ya kidini yenye msimamo mkali na ushupavu kupitia vyombo vya habari. Hapo awali alishtakiwa kwa kuandaa, kuhifadhi, au kusambaza nyezo za kidini kinyume cha sheria, na Wizara ya Mambo ya Ndani ilimweka kwenye orodha ya watu wanaotafutwa kimataifa! Uturuki ilimregesha Mubashir Ahmad hadi Uzbekistan kwa ombi lake mwezi Mei mwaka huu.

Umuhimu wa Kimkakati wa Siasa za Kijiografia za Sudan

Sudan ni nchi yenye umuhimu mkubwa wa kisiasa za kijiografia, unaotokana na ardhi yake kubwa, maliasili nyingi, na eneo ambalo linaiweka kitovu cha baadhi ya njia muhimu zaidi za kibiashara na kisiasa duniani. Licha ya kukabiliwa na miongo kadhaa ya ukosefu wa utulivu wa kisiasa, Sudan inasalia kuwa kitovu cha maslahi kwa dola zenye nguvu za kieneo na kimataifa kutokana na nafasi yake ya kimkakati na uwezo wake ambao haujatumiwa. Umuhimu wake sio wa kisasa tu bali pia wa kihistoria, haswa katika zama ambazo ilikuwa sehemu ya Khilafah kubwa zaidi ya Kiislamu, ambapo ilichukua nafasi muhimu katika kuunganisha na kuimarisha ulimwengu mpana wa Kiislamu. Na umuhimu wake utabaki mbeleni, Khilafah itakaporegea.

Mwaliko wa Kuhudhuria Kikao cha Kisiasa

Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan inafuraha kuwaalika ndugu katika vyombo vya habari, wanasiasa, na wale wote wanaopenda masuala ya umma, kuhudhuria na kushiriki katika kikao kipya cha Kisiasa, ambapo Ustadh Hatim Jaafar, mwanasheria - mjumbe wa Baraza la Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu