Khilafah Itawalinda Wanawake Dhidi ya Ukatili Sio Upitishaji wa Sheria za Kisekula
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Rais wa Amerika Joe Biden mnamo Jumatano, 9 Februari 2022 alitoa taarifa kwa kichwa, “Taarifa ya Rais Biden kuhusiana na Utangulizi wa Uidhinishaji Upya wa Sheria ya 2022 ya Kupambana na Ukatili Dhidi ya Wanawake.”