Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 499
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Al Waqiyah TV: Baraza la Usalama liko “Mfukoni mwa Marekani” Likiendeshwa na Maslahi yake na Maslahi ya Mayahudi na Wakoloni Makafiri.
Hizb ut Tahrir / Indonesia iliandaa amali mbele ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa Indonesia Takarta iliyobeba kauli mbiu “Palestina Inakombolewa kwa Jihad na Khilafah” ambayo walishiriki ndani yake zaidi ya Waislamu elfu 13 wanaume na wanawake iliyotaka kuhamasishwa majeshi ya Waislamu kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina)
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria: Kalima ya Kisimamo cha Ijumaa “Kusimama Thabiti juu ya Haki ni Njia ya Manabii na Wakweli!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kisimamo katika mji wa Hammamet chenye kichwa “Kutoka Tunisia hadi Gaza... Risala Tatu".
Hizb ut-Tahrir/Wilayah Tunisia imeandaa matembezi kwa kichwa “Enyi, Jeshi la Misri, Kinana... Adui yuko Machoni pako... Amemwaga Damu yenu na Kuwaua Ndugu zenu, Umefika Wakati kwenu Kuchukua Hatua!” baada ya swala ya Ijumaa yaliyoanza kutoka Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu wa Tunis hadi barabara ya Al-Thawra kama ilivyo kila Ijumaa.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Ulipuaji Mabomu, Mauaji na Uharibifu... Ifikieni kwa Haraka Rafah!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Uongozi wa kisiasa na kijeshi wa Pakistan ni wawezeshaji wa Marekani na kambi yake ya kijeshi katika moyo wa Ummah!
Watawala wa Waislamu wameyazuia majeshi ya Waislamu dhidi ya udhalimu wa mfumo wa kilimwengu wa Marekani, makruseda na Mayahudi!