Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Jeshi la Al-Kinana ni Ngao ya Uislamu na Msaidizi wa Ummah Hivyo ndivyo lilivyokuwa na hivyo ni lazima Lirudi Kuwa

Hayat Washington ilisema kwenye tovuti yake, Jumatatu, 22/5/2023, kwamba vyombo vya habari vya Nigeria viliripoti kwamba Shirika la Miradi ya Huduma ya Kitaifa ya Wizara ya Ulinzi ya Misri inakusudia kuwekeza katika sekta ya kilimo katika jimbo la Ogun (magharibi).

Soma zaidi...

Utiifu kati ya Uislamu na Ubepari

Aliyekuwa Mufti Mkuu wa Misri, Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Kidini na Kamati ya Awqaf (Wakfu) Bungeni, Ali Gomaa alisema kuwa fahamu ya uraia katika zama za kisasa ni mkataba wa kijamii kati ya mtu binafsi na dola na fahamu hiyo ndiyo iliegemezwa fahamu ya Utaifa juu yake, ambayo inahusisha haki na wajibu wa mtu binafsi katika jamii.

Soma zaidi...

Utawala wa Misri Hauna Uhalali na Mazungumzo yake ni Ujanja wa Kuwahadaa Watu Waliodhulumiwa

Mazungumzo ya kitaifa ambayo utawala wa Misri unadai si chochote bali ni ujanja ambao ulilazimishwa na hali mbaya ya kiuchumi, na yote ambayo inaota ni kwamba mgogoro huu upite, ili kuregelea sera zake za zamani, na pengine kuwafuta washirika wao wenyewe ambao walitoa shinikizo la aina yoyote juu yake, au wapinzani wake, ambao wanaweza kuwa wamekataa kuwa kama wale ambao Sisi aliwaleta kwenye kile alichokiita mazungumzo ya kisiasa ya kitaifa.

Soma zaidi...

Palestina Inakombolewa kwa Majeshi, Sio kwa Makongamano na Sheria ya Kimataifa

“Wakati umewadia wa amani...” Risala za Al-Sisi kutoka kwa Kongamano wa Kuinusuru Al-Quds, chini ya kichwa hiki Gazeti la Al-Dustour liliandika mnamo Jumapili 12/2/2023, kuwasilisha kile lilichokiita risala za rais wa Misri, ambaye alisema: Kadhia ya Palestina bado ni kipaumbele kwa Misri na Waarabu.

Soma zaidi...

Ushujaa wa Watu wa Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina Hauwezi Kushutumiwa!

France 24 iliripoti kwenye tovuti yake, Jumamosi, Januari 28, 2023, kwamba baadhi ya nchi za Kiarabu, ikiwemo Misri, Jordan na Imarati, zililaani shambulizi lililoua angalau 'Waisraeli' saba katika ufyatuliaji risadi uliowalenga waumini karibu na sinagogi la Kiyahudi katika mtaa wa makaazi katika Jerusalem Mashariki inayokaliwa kimabavu.

Soma zaidi...

Mgogoro wa Kiuchumi wa Misri, kwa kweli, ni Mgogoro wa Kimfumo Ndio Mzizi wa Maradhi na Chanzo cha Mateso

Umaskini uliokithiri, ukosefu wa ajira uliogubika, machafuko ya kisiasa na kiuchumi, utajiri wa kupindukia kwa wachache kwa gharama ya watu wengi, kushuka kwa thamani ya pauni dhidi ya fedha za kigeni kusikokuwa na kifani, kula akiba za watu, kushuka kwa kiwango kikubwa cha maisha, kuongezeka kwa kasi kwa deni la umma, kupanda kwa bei kusiko na kifani, kupuuza rasilimali za kiuchumi na kimkakati kwa ajili ya maadui wa Ummah...

Soma zaidi...

Je, kuna Matumaini kwa Misri chini ya Mfumo wa Kirasilimali na Sheria zake?! Je, Migogoro ya Kiuchumi ya Misri Itakwisha Lini na ni nani mwenye Masuluhisho Sahihi?!

Hakuna sauti iliyokubwa kubwa zaidi kuliko sauti ya misukosuko ya kiuchumi inayoikumba Misri na watu wake, ikiteketeza nguvu na juhudi zao, na kupoteza pamoja nao akiba zao. Mikopo na mikopo mipya ya kulipa maregesho ya mkopo, ikifuatiwa na sera na maamuzi na kufuja mabaki ya utajiri na mali ya Misri.

Soma zaidi...

Enyi Watu wa Kinana: Uvumilivu wenu ni Udhalilifu na Kimya chenu ni Uhalifu Yapi Yatokea baada ya Mawimbi Mtawalia ya Ueleshaji?!

Mnamo Alhamisi asubuhi, Oktoba 27, 2022, Benki Kuu ya Misri ilipandisha viwango vya riba kwa pointi 200, wakati wa mkutano wa kipekee, hivyo kiwango cha maregesho ya amana na mikopo ya usiku mmoja kikawa asilimia 13.25 na asilimia 14.25, mtawalia, na taarifa ya Benki Kuu.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu