Pongezi Kutoka kwa Hizb ut Tahrir kwa Idd Al-Adha Al-Mubarak
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ni miaka tisa sasa tangu Huduma za Ujasusi za Pakistan (ISI) kumteka nyara Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Pakistan, Mhandisi Naveed Butt, mnamo Mei 11, 2012. Kuhusiana na tukio hili, Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Pakistan imetoa taarifa mbili kwa vyombo vya habari:
Tangu mwanzo wa mwaka 2021 M, maelezo yote ya mateso ya kikatili yaliyofanyika ndani ya vyumba vya chini vya "Huduma ya Adhabu ya Shirikisho" (FSIN) nchini Urusi yamefichuka mbele ya rai jumla.
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu, na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote, Muumba wa wanadamu na Mtumaji wa manabii pamoja na risala, Mshindi wa wenye nguvu na Mtawala juu ya waja,
Hitimisho la Kampeni "Katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah… Isimamisheni Enyi Waislamu"
Katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah… Isimamisheni Enyi Waislamu
Huu hapa tena umerudi mwezi wa Rajab al-Khair kwetu kutukumbusha kuwa msiba wa kuvunjwa kwa Khilafah ungali unaendelea haujamalizika bado.
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir yatangaza kuzinduliwa kwa kampeni ya kimataifa ya kunyanyua uelewa wa ulimwengu juu ya dhulma kubwa na unyanyasaji unaowakabili Waislamu nchini Sri Lanka,
Kulingana na habari zilizochapishwa na tovuti ya Habari za Asia ya Kati mnamo 13/10/2020 chini ya kichwa: "Kyrgyzstan yamkabidhi Muislamu mwingine kwa Uzbekistan),