Jumapili, 15 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/07
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Uislamu ni Ujumbe kwa Wanadamu Wote!

Leo hii, watawala mafisadi na wasio na thamani ambao wamejinyakulia madaraka katika ardhi za Waislamu kwa kujidai kuwa wao ndio viongozi wa Uislamu, wanaonyesha na kujifakharisha juu ya mafanikio ya Waislamu huko nyuma, kuwa ni tunu za kihistoria na kiroho, bila ya kuhusisha amri za Shariah kwao wenyewe na mfumo wao wa utawala. Wanazitumia hisia za Waislamu kwa kuwalaza usingizi na kuzikandamiza hasira zao, ambazo hukimbilia uhuru na kujitahidi kutabikisha Shariah katika maisha yao.

Migogoro Inayosababishwa na Utawala Fisadi Haiwezi Kutatuliwa Kupitia Nao

Tangu Marekani ilipoikalia kwa mabavu Iraq mwaka 2003, na kwa miaka 22 sasa, imekuwa ikikumbwa na mzozo wa kifedha na umaskini na uchochole ulioenea. Licha ya mapato ya mafuta yanayofikia mamia ya mabilioni kila mwaka, wanasiasa na wataalamu wake hujitokeza kila mwaka kutoa tahadhari kuhusu mgogoro wa kifedha unaoweza kusababisha serikali kukosa uwezo wa kulipa mishahara ya wafanyikazi.

Je, Mubashir Ahmad Atakuwa Mwathirika Mwengine wa Utawala wa Uzbekistan?

Mnamo Agosti 19 mwaka huu, mashtaka yalianza katika kesi ya jinai dhidi ya Alisher Tursunov, anayejulikana kwa jina lake bandia Mubashir Ahmad. Anatuhumiwa kwa kuchapisha machapisho yanayopigia debe mawazo ya kidini yenye msimamo mkali na ushupavu kupitia vyombo vya habari. Hapo awali alishtakiwa kwa kuandaa, kuhifadhi, au kusambaza nyezo za kidini kinyume cha sheria, na Wizara ya Mambo ya Ndani ilimweka kwenye orodha ya watu wanaotafutwa kimataifa! Uturuki ilimregesha Mubashir Ahmad hadi Uzbekistan kwa ombi lake mwezi Mei mwaka huu.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu